Mwangi Wa Iria shocking message to Gachagua about Mount Kenyatta angers Ruto badly!
|Former Murang’a governor Mwangi Wa Iria is not happy with deputy president Rigathi Gachagua after Court ordered EACC to freeze his wife’s assets.
In a video that has since gone viral, Wa Iria is seen castigating Riggy G for calling himself the son of Mau Mau and Mount Kenya Kingpin.
According to the former presidential aspirant, Gachagua should be very careful about how he handles Mount Kenya affairs.
Mwangi warned Riggy G that he (Wa Iria) is the one who should be Mount Kenya Kingpin since he comes from the family of the first Kikuyu family adding that he will never allow Gachagua be given the title.
“Mimi nataka kuambia watu wa central Kenya Mimi nataka kua kiongozi wa Wakikuyu. Watoke wawili watatu tutang’ang’ana na nungependa rais hasiingilie vita ya hapa juu hapa tutatwangana.
Watu wa Mount Kenya muache kuwekwa uwoga mkipata shida mnakuja kwangu. nimechapa hii county for ten years na jamaa anataka kuniharibia jina ya ile kazi nimefanya.
Nataka kupeana onyo na nimerudi kwa siasa na kuanzia January tuaanza utaratibu wa usawa movemnet, kuongea mambo ambayo watu wetu hawaongei.
“Mimi lazima niongee ukweli ata nikipewa cheo bado nitaongea Kwasababu mimi ni royo ya watu wengi na siwezi fanya miaka kumi alafu mtu akuje kuniharibia record yangu ya miaka kumi akileta mambo ya ujinga na ya utoto aki mention my wife anataka nimpatie bibi yangu? akuje achukue,” Angry Wa Iria stated. More